0
Mara kadhaa wananchi wamekuwa na mawazo ya kuacha kazi zinazoweza kuwapa maendeleo na kuwapandisha kwenye uchumi wanaoutaka kutokana na malengo waliyonayo.

Kutokana na hilo baadhi ya vijana wamekuwa na hamu ya kupanda kwenye hatua yao ya maisha pasi na nafasi ya kuweza kuwapandisha pale wanapotaka, hivyo kuacha fulsa na kukimbilia mjini.

Huko mkoani Arusha vijana wameamua kufanya mabadiriko na TNEWS tumekuwekea kile ambacho kinaweza kukubalisha fikra na kuamua kusimama mwenyewe au kama kikundi.


Habari kamili hii hapa kwenye ukurasa wetu wa VIDEO HABARI kulia>>>>>

Post a Comment

 
Top