0
HABARI MPYA: Ng'ombe 30 na kondoo 7 wamekufa baada ya kupigwa na radi katika Kijiji cha Muhweza wilayani Ngara, habari zaidi utaipata hapa hapa.

PHOTO 👆 👇 : Wananchi wakiangalia na wengine wakichinja ili kupata kitoweo. 



Mtendaji wa kijiji Alex Joseph athibitisha.




Source: #Mwananchileo

Post a Comment

 
Top