0
PHOTO: Mkurugenzi mkuu wa SUMATRA
Gilliard Ngewe katikati akiongea na wanahabari
kuhusu kusitishwa kwa kile kilichoitwa mgomo
kwa wamiliki wa magari ya abilia na mizigo nchini,
wengine ni viongozi waandamizi wa TABOA.
Mgomo uliokuwa umepangwa na chama cha wamiliku wa mabasi TABOA ikishirikiana na wadau wengine wa usafirishaji  TAT Chama cha wenye maloli umesitisha  kutokana na kikao na Waziri mwenye dhamana ya usafiri na Uchukuzi Prof Makame Mbalawa kuingilia kati na kufanya nao mkutano uliweza kuangalia mapungufu na taratibu zilizokuwa zinaonekana kuleta shida.


Katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam Mkurugenzi mkuu wa SUMATRA Gilliard Ngewe ameongea mambo kadhaa na TODAYS NEWS tumekuwekea hapa chini katika habari video…. 





Post a Comment

 
Top