0
DAR ES SALAAM.
Rais Dr. John Pombe Magufuri amefanya uteuzi na kumteua Dk Kedi Mduma kuwa mwenyekiti wa Bodi ya mamlaka ya masoko na mitaji na dhamana nchini.
Taarifa iliyotolewa leo na Katibu mkuu kiongozi balozi John Kijazi imeeleza na kutoa maelekezo kuwa uteuzi huo umeanza toka jana tarehe 23.2.2017, ambapo Dk Mduma anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Drace Rubambey aliyemaliza muda wake.

Taarifa kamili nakuwekea hapa chini:


Post a Comment

 
Top