0
Baada ya bosi wa Tanesco kumbuliwa moto wawaka katika shirika hilo, kuna jamaa alikuwa anafukua kaburi, gafla amedakwa na Rais Magufuri speed ni ileile hana breki.

Ni katika udondozi wa mapitio ya magazeti kutoka kurasa za mbele kupata kile ambacho kimepewa uzito siku ya leo, hapa chini ni baadhi yaliyowahi kufika mbele ya camera yetu na tumekuletea moja baada ya lingine.












Post a Comment

 
Top