0
-Kukosekana kwa mvua pamoja na mabadiriko ya hali ya hewa (tabia nchi) tishio la njaa vyakula havikamatiki, baadhi wala maembe machanga… -Askofu aliyeacha kukusanya kondoo wa Bwana akaanza kujikusanyia alipasua kanisa… -Chama cha Mapinduzi chaonya Seif na Lowassa waache kupotosha vinginevyo… -Rais magufuri aenda aliposoma kwa kushitukiza… -Jamaa apelekwa kortini kwa kumtusi JPM na Samia, ni nani huyo…

Hayo ni baadhi yaliyopo kutoka kwenye kurasa za mbele tunazokuletea hapa chini kutoka kwenye magazeti yaliyowahi kupita kwenye jicho la camera yetu.









Post a Comment

 
Top