“tunataka kuboresha mapato ya halmashauri zetu, sehemu
zozote zenye hitilafu kutokana na makossa ya kukopi na kupesti basi inabidi
sehemu zenye makossa zifanyiwe masahihisho tukiwa humu humu ndani”
![]() |
| Mwenyekiti wa balaza la madiwani la wilaya ya Meru Willy Njau mwenye kipaza sauti akiweka sawa kuhusiana na mjadara unaofanyika katika balaza hilo wilayani Meru. |
![]() |
| Picha mbili juu >> Madiwani wakisikiliza michango na mijadara ya madiwani wenzao (hawapo pichani) kuhusu mapato na matumizi ya bajeti ya wilaya ya Meru. |
![]() |
Aman
Sanga Afisa mifugo na Uvuvi wa wilaya akijibu swali kuhusu kupungua kwa mapato
katika sekta ya mifugo na uvuvi willayani humo.
|
![]() |
Picha juu >> Madiwani wakisikiliza michango wa Afisa
mifugo na uvuvi (picha ya juu) kuhusu mapato yatokanayo na ofisi yake kwa
wilaya ya meru.
|
![]() |
Mganga
mkuu wa wilaya ya Meru Ukio Kusirye akijibu swali lililohusu mapato yatokanayo
na sekta ya afya wakati wa balaza hilo.
|
![]() |
icha juu >> Madiwani wakisikiliza majibu yam ganga mkuu
wa wilaya kuhusu mapato yatokanyo na sekta ya Afya (picha ya juu) kuhusu mapato
yatokanayo na ofisi yake kwa wilaya ya meru.
|
![]() |
Mwakilishi
wa Katibu mkuu tawala mkoa wa Arusha Moses Mabula akiondoa wasiwasi kwa
madiwani kuhusu kuwepo kwa mapungufu mengi katika bajeti
|
MERU.
Baraza
la madiwani wa wilaya ya Meru linakaa kujadili bajeti yam waka 2017/18 huku
kukiwa na changamoto mbalimbali zilizopo wilayani humo zikiwemo kupungua kwa
mapato katika baadhi ya biashara kama nyumba za wageni, kwenye masoko yaliyopo
wilayani hapo pamoja na baadhi ya biashara kufungwa hivyo, kuwepo kwa baraza hilo
ni kuweza kuinua mapato ya Halmashauri hiyo.
Vile vile ili kuweza kukuza
mapato ya wilaya hiyo ambayo ina zahanati binafsi kadhaa ambazo nazo
zinachangia pato la wilaya hiyo, hivyo Mganga mkuu wa wilaya Ukio Kusirye ambaye
anajibu swali lililoulizwa kuhusu tozo na ada zinazotozwa kwa zahanati
ndogondogo zilizopo katika wilaya ya Arumeru ikiwa ni pamoja na upimaji wa Afya
kwa watoa huduma wa zahanati hizo.
Afisa mifugo na uvuvi wa
wilaya ametanabaisha kutokuwepo kwa mapato ya uhakika kutokana na bidhaa za
uvuvi kama samaki, ikiwa na maana katika wilaya hiyo hakuna uvuvi unaofanyika
labda kwa kutegemea bidhaa zinazopita katika wilaya hiyo.
Kumekuwepo na makusanyo
hafifu yanayopatikana katika soko la kisorongo lililopo wilayani humo, ambapo
meneja biashara wa soko hilo ameshindwa kujibu nyumba za wageni pamoja na
kuwepo na mapato mengi kwa kipindi kilichopita lakini muda sasa mapato
yamepungua pamoja na kwamba diwaniKwa niaba ya kinaendelea kufanyika katika ofisi za wilaya ya meru mkoani Arusha.
Idara ya biashara inacheza
katika siasa chafu ikipelekea hata kumfedhehesha Rais Magufuri kutokana na
tabia hii, hali hii inatokana na kufuatilia mara kadhaa, “taarifa hii ya mapato ya ndani yapaswa
tuikatae ili ikarekebishwe maana haina muelekeo wenye kuleta tija kwa maendeleo
ya wilaya yetu” anasema Romani
diwani wa kata ya keri.









Post a Comment