![]() |
| Madeleine Albright, ambaye amejitoa kujisajaili kuwa muislame endapo... |
''Nilililewa kama mkatoliki nikawa
Episcopalian na baadaye nikabaini kwamba familia yangu ilikuwa ya Kiyahudi'', Bi Albright, ambaye ni mwanamke wa kwanza kuwa waziri wa maswala ya
kigeni nchini Marekani alisema katika mtandao wake wa Twitter.
Tamko lake hilo limekuja huku kukiwa na uvumi kuhusu agizo la rais ambalo litafanya kuwepo kwa ukaguzi wa kina,
kupiga marufuku wakimbizi mbali na watu wanaoingia kutoka nchini humo kutoka
mataifa saba ambayo yatashirikisha Syria,Yemen na Iraq.
Lakini bado
hakujawa na usajili wa wamarekani waislamu katika miezi ya hivi karibuni, swala
ambalo bwana Trump alisema atalitekeleza katika mahojiano aliyoyafanya mwaka
2015 kabla ya kukana kufanya hivyo hivi karibuni.
Source BBC

Post a Comment