0


ARUSHA.
Na Michael Nanyaro.
Katika tukio la kuuwawa kwa wafugaji walioingiza mifugo yao katika eneo la msitu unaolindwa na askari wa JKT, wafugaji kadhaa waliuwawa kutokana na mashambulizi yaliyotokea kutoka na kukamatwa kwa mifugo yao.




PICHA JUU >> Baadhi ya wananchi wa kata ya oldonyosambu wilaya ya Arumeru mkoani Arusha wakiwa wamekusanyika katika eneo la ofisi za kata hiyo kufuatia kuuwawa kwa mwenzao na askari wa jeshi la kujenga taifa (JKT) waolinda msitu jirani wa mlima meru, jumla ya wafugaji watano walipoteza maisha na wengine saba kujeruhiwa usiku wa kumakia juzi.


Viongozi wa serikali wakiongozwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Alexander Pastor Mnyeti mwenye shati la Bluu wakiwa eneo la tukio kwa ajili ya kuongea na wananchi kuhusiana na tukio.
Katika hatua nyingine inayoonyesha majonzi kwa wafugaji hao, mmoja wa marehemu ambaye aliuwawa majuzi mazishi yake yanatarajiwa kufanyika leo ambapo wananchi wa eneo la kata ya oldonyosambu wanakusanyika kwa ajili ya kumuaga mwenzao. 

Post a Comment

 
Top