0
Habari hii uenda umesikia au kusoma sehemu kadhaa kupitia vyombo vya habari tofauti na TODAYS NEWS, kama hujaipata popote au taaifa zake tunakupa kwa brief;

Profile photo: Waokoaji wamebeba maiti ya abiria baada ya kuzama kwa chombo cha kuvusha watu katika bandari ya Zanzibar Julai 19, 2012. Ajali za kuzama kwa mashua na boti hua zikitokea mara kwa mara katika bahari ya Hindi.

HEADING STORY:

Watu arobaini wamepoteza maisha katika ajali ya boti ambayo ilizama katika bahari ya hindi upande wa mkoa wa Tanga. Boti hiyo ambayo ilikuwa ikitokea katika bandari ya Tanga ikielekea katika visiwa vya Pemba.

Boti hiyo ilikua imebeba watu 50 wakati ilipozama tarehe 10 January usiku wa Jumatatu kuamkia Jumanne, miili kumi na mbili imepatikana na watu tisa waliokolewa, jeshi la polisi lilitoa taarifa na kusema; boti hiyo ilikuwa likielekea katika visiwa vya Pemba ikitokea katika bandari ya Tanga, na sababu za ajali hiyo hazijajulikana.


Post a Comment

 
Top