Kisa hiki ni moja kati ya
visa vingi vinavyoendelea kutokea sehemu nyingi duniani, lakini sisi kama wana
habari tumeona kuna haja ya kukupasha hasa wewe msomaji wetu uliye karibu nasi kwa
kutembela ukurasa wetu.
Hili ni tukio limetokea
nchini Nigeria kwa dada ambaye amepewa vidonge na bosi wake kwa ajili ya kunywa vikiwa kama
pipi, vikionekana ni vidonge au pipi flani lakini ndani yake ni kitu cha hatari ambacho kikiingia mwilini ni hatari.
Wakati unaenda kuangalia video ya tukio hili unapaswa kuwa makini kwa
wakati huu maana huwezi jua pale ulipo na kile unachotaka kutumia kula ni kitu
sahihi au lah?
Unaweza kushare kwa wenzako
wapate kujifunza na kuwa makini popote walipo kutokana na video hii hapa....

Post a Comment