DAR ES SALAAM.
Serikali imesema itayafanyia uchunguzi madai yaliyoripotiwa
na vyombo vya habari vya Malawi jana madai ya wapelelezi nane kutoka Tanzania
walikamatwa wakati wakijaribu kinyume cha sheria kuingia mgodi kwenye urani
katika nchi hiyo.
Taarifa za kukamatwa kwa mara ya kwanza zilichapishwa Alhamisi
iliyopita, na vyombo vya habari wa Malawi jana vilipendekeza kuwa walikuwa
wapelelezi nane waliotumwa na serikali
ya Tanzania pasipo kuwa na vitambulisho vya kusafiria kuchunguza kama nchi hiyo
"inaendeleza silaha za nyuklia kutoka machimbo ya uranium Kayerekera eneo lililoko
wilaya ya Karonga.
Waziri wa mabo ya nje, afrika mashariki na Ushirikiano wa kimataifa, Dk Augustine Mahiga, alisema kuwa hajui chochote kuhusiana na ripoti hiyo ilahidi kufuatiliaji, "Mimi ndiyo kwanza nasikia taarifa hii kwa mara ya kwanza kutoka kwako. Haya ni madai makubwa, nitayafanyia kazi na kuwasiliana na ubalozi wetu huko malawi kuona kama wanajua chochote kuhusu hili …"alisema Dk Mahiga.
![]() |
| Dr. Augustine Maige. |
Waziri wa mabo ya nje, afrika mashariki na Ushirikiano wa kimataifa, Dk Augustine Mahiga, alisema kuwa hajui chochote kuhusiana na ripoti hiyo ilahidi kufuatiliaji, "Mimi ndiyo kwanza nasikia taarifa hii kwa mara ya kwanza kutoka kwako. Haya ni madai makubwa, nitayafanyia kazi na kuwasiliana na ubalozi wetu huko malawi kuona kama wanajua chochote kuhusu hili …"alisema Dk Mahiga.
Vyombo vya habari wa Malawi vimenukuliwa pasipo kutaja majina
kwa usalama kuwa baadhi ya waliokamatwa walikuwa na vifaa, pamoja na kamera
nzito.
Naibu msemaji wa jeshi la polisi eneo la karonga nchini malawi, Bw George
Mlewa alisema "Wakati
uchunguzi wetu unaendelea juu ya suala hilo, naweza kukuambia kwamba hatuna
taarifa hizo hadi sasa”.
Polisi walisema wanakijiji katika kijiji cha Kayuni nchini Malawi
walishangaa kuona Watanzania wakitembea kuzunguka na walipowahoji na kuwauliza
kwa wanafanya nini kwenye mgodi, walishindwa kutoa majibu ya kushawishi, alisema
Bw Mlewa na kuongeza huu ni wakati tuhuma maana wanakijiji waliwaita polisi,
ambao kwa haraka wakaja na kukamatwa wageni hao nane
Source: Malawian medias and Citizen


Post a Comment