0
MTWARA.
Benki ya CRDB PLC tawi la Mtwara imefanya mkutano na wanahisa wa benki hiyo kwa mkoa wa mtwara na wilaya zake ikiwa ni sehemu ya mafunzo kwa wanahisa hao kuweza kutambua namna ya kufuatilia na kujua  wapi wanapoelekea kutokana na ununuzi wa hisa za benki hiyo.

Akifungua mkutano huo uliowakutanisha wanahisa kutoka wilaya kadhaa za mkoa huo ambazo zina wanahisa, meneja wa CRDB tawi la Mtwara Francis Kasoyaga ametanabaisha jinsi gani mwananchi anaweza kupata faida inayoweza kumsaidia wakati wowote kutokana na ununuzi wa hisa hasa za benki hiyo.

Baadhi ya wanahisa wa Benki ya CRDB kwa matawi ya Mtwara wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa CRDB waliokaa akiwepo Mkurugenzi wa CRDB Mtwara Francis Kasoyaga wa pili kutoka kulia waliokaa.


Hapa chini TODAYS NEWS tumekuwekea taarifa kamili pamoja na nini Mwananchi unatakiwa kufanya unapotaka kufanya maamuzi ya kununua hisa na kuhusu mkutano huo katika Habari video……




Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top