0
TODAYS NEWS tunakuketea picha cha he wakati Rais Magufuri alipofungua rasmi matumizi ya mabweni mapya pale chuo kikuu cha Dar Es Salaam.

PHOTO: Rais Magufuri akifungua moja ya kabati zilizopo katika mabweni mapya ya chuo kikuu cha Dar Es Salaam upande wa Mlimani.

PHOTO: Jaji mstaafu na aliyewahi kuwa waziri mkuu Joseph Warioba akiwa mmojawapo wa viongozi walioambatana na Rais katika ufunguzi huo,  hapa akikagua vitanda katika mabweni hayo. 

PHOTO: rais Magufuri akitizama mabakati yaliyopo katikaoja ya vyumba vya mabweni hayo mapya. 

PHOTO: Rais magufuri kulia akifurahi jambo na viongozi kadhaa alioongozana nao akiwepo First Lady mama Janet Magufuri wa pili kulia ndani ya moja ya vyumba vya mabweni hayo. 

PHOTO: Rais Magufuli akiteta jambo na jaji Joseph Warioba mara baada ya kutoka ndani ya mabweni.

PHOTO: Picha ya mapoja kwa viongozi waandamizi wa serikali na chuo kikuu cha Dar Es Salaam kwenye eneo la mabweni mapya ya UDSM Mlimani. 





Picha zote na jamii forum. 

Post a Comment

 
Top