Chama cha wanasheria nchini (Tanganyika
Laws Society) wanafanya mkutano wao kupitia ajenda muhimu za chama hicho jiji
Arusha ikiwa ni pamoja na maandalizi ya mkutano mkuu wa mwaka ukiwemo uchaguzi wa Rais wa chama
hicho unaotarajiwa kufanyika kesho katika ukumbi wa AICC jini hapa.
Chama hichi kina
wanachama walioandikishwa katika daftari wapatao 6000 huku jumla ya wanachama
wanaokadilia kufika 3000 wameudhulia mkuano na ambao wanategemea kuchagua viongozi huo na kwa mujibu wa kanuni za chama hicho uongozi hudumu kwa mwaka mmoja ambao wanategemea kuongoza chama hicho kwa mwaka mmoja ujao wa chama hicho cha (TLS).
Wakati mmoja wa wagombea ambaye kwa wiki
nzima amekuwa akitajwa sana kutokana na
kampeni zilizoanza, kwenye uchaguzi unaofanyika kesho wagombea wapato sita
Voctoria Mandare, Francis Stora, Tundu Lissu, Godwin Mwapongo na Laurence Masha wanatarajia kuchuana katika nafasi ya
urais wa Chama cha wanasheria nchini TLS.
Hapa chini nakuwekea picha kadhaa za wanasheria waliofika katika mkutano huu ambao kwa haki halisi mpaka sasa ukumbi wa mkutano umejaa na bado kuna wanasheria nje ya ukumbi.






Post a Comment