Hivi karibuni Mbunge wa Arusha mjini
Godbless Lema alitoka mahabusu alikokuwa amesbikiliwa kwa muda wa takribani
miezi minne kutokana na kutumia lugha ya uchochezi kwa kiongozi mkuu wa
nchi.
Mara baada ya kuachiwa kumekuwepo na watu
mbalimbali wanaomtembelea ambapo leo msanii wa sinema/filamu nchini ambaye hivi
karibuni amejiunga na Chadema Wema Sepetu akiwepo mbunge mmoja kutoka kenya walitua
nyumbami kwa mbunge huyo Njiro jijini Arusha.
Hapa chini TODAYS NEWS imekuwekea picha (baadhi) 5tu tulizonasa.
 |
| PHOTO: Wema akiongea na wana habari ambapo aliongea kuhusiana na matatizo
aliyokumbana nayo njiani akielekea jijini Arusha. |
 |
| PHOTO: Wema akiwa na wapenzi wa Chadema walifika nyumbani kwa Lema Njiro jijini Arusha wakionyea ishara inayotumiwa na chama hicho. |
 |
PHOTO: Wema akipiga picha kwenye (old school car) nyumbani kwa Lema jijini Arusha.
|
 |
PHOTO: Wema akiwa na Lema kulia nyumbani kwake ambapo nyuma ni magari ya mbunge huyo.
. |
 |
| PHOTO: Wanahabari (waliosimama) wakichukua story kwa Mbunge kutoka nchini kenya ambaye alijumuika kufika nyumbani kwa mbunge huyo jijini Arusha. |
Post a Comment