0

Maisha yanapokuwa mujarabu kwa mtu kuwa na furaha hali hiyo inatokana na vile alivyoamua kuishi na yawezekana ni kutokana na usanifu wa njia za kuingiza kipato ambazo kwa mfumo wa maisha uchangia kumfanya mtu kuamua kufanya jambo lolote analoona nafsi yake itapata furaha baada ya kuamua kulifanikisha.
Wiki hii limetokea tukio ambalo kwa watu wengi linaweza kuwa jambo la kustaajabisha kutokana na mazingira yake na unaweza kuliweka katika sehemu ya ubongo wako na kujiuliza nini sababu au kwa nini kufanya uhamuzi huu au je hawa wanawale walikuwa wanafahamiana wakati tukio hili la Ndoa linaenda kutukia?
Hayo ni baadhi ya maswali ambayo msomaji unaweza kuwa na moja ya swali katika hayo, lakini je swali la pekee linaweza kuwa ni hili, ni wapi Ndoa hizo zimefungwa, Kanisani, Msikitini hama kwa mkuu wa mkoa, wilaya?
Yoyote kwa yote NDOA zimefanikiwa kufungwa ikianza na Jumamosi na nyingine Jumapili iliyopyata.
TODAYS NEWS tumefamikiwa kupata baadhi ya matukio kupitia picha zilizonaswa kutoka katika mitandao tofauti.


PHOTO: Javan ambaye kwenye magari yake ameweka nambari za jina lake akiwa na kwenye ukumbi wa sherehe na mmoja kati ya wake zake wawili.

PHOTO: Kulia na kushoto ni kadi mbili tofauti za mwaliko kwa ndugu, jamaa na marafiki waliohudhulia sherehe hizo mbili tofauti kwa siku mbili zilizofuatana.

PHOTO: Siku ya harusi ya kwanza akiwa na mkewe wakiingia ukumbini.


PHOTO:  Javan na mkewe wa kwanza wakiwa mtaani siku ya harusi ya kwanza, ‘DAY ONE’

PHOTO: Wakiingia ukumbini siku ya kwanza ‘DAY TWO’

PHOTO: Javan akiwa na wasindikizaji wa sherehe yake ya pili ya harusi.

PHOTO: Hii nI gari ile ile iliyotumika kuwabeba Javan na mkewe wa pili kwa siku ya harusi ya pili, ‘DAY TWO’

PHOTO: Jamaa akiwa na wake zake wawili kushoto na katikati ndani ya ndege kwenda wanakojua wenyewe kula honeymoon.

Post a Comment

 
Top