0
Hatimaye mgombea aliyekuwa na changamoto kadhaa kuwania kiti cha urais wa chama cha wanasheria nchini (TANGANYIKA LAWS SOCIETY) Tundu Lissu hatimaye amechaguliwa kwa kura zipatazo 1411 sawa na kuwatupa wagombea wenzake wanne ambao {kura zao kwenye mabano} ni Godwin Mwapongo (23), Francis (64), Victoria Mandari (176) na Tundu Lissu (1411).

Hapa chini unaweza kuhabarika kwa video yenye matokea kamaili....



Post a Comment

 
Top