DAR ES SALAAM.
Habari ya iliyopo na yenye
nguvu kwa sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe
Magufuri amefanya mabadiriko madogo kwenye baraza la mawaziri katika mabadiriko
hayo amemteua waziri mpya wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, … TODAYS NEWS
tumekuwekea taarifa kamili kutoka Kurugenzi ya habari ya Rais hapa chini.
UPDATES:
Kupitia akaunti yake ya Twitter nape ameandika;
"Ndugu zangu naomba TUTULIE! Leo mchana nitakutana na Wanahabari na tutazungumza hili. Nitawaambia saa na mahali, kwa sasa naomba TUTULIE."
Kauli ya nape inakuja muda mfup baada ya Rais Magufuri kumuondoa kwenye nafasi ya uwaziri aliyokuwa amesimamia kwa muda wa mwaka mmoja na miezi kadhaa na sasa Raia amemteua Waziri wa Katiba na sheria Dkt. Harrison Mwakyembe kujaza nafasi hiyo.
"Ndugu zangu naomba TUTULIE! Leo mchana nitakutana na Wanahabari na tutazungumza hili. Nitawaambia saa na mahali, kwa sasa naomba TUTULIE."
Kauli ya nape inakuja muda mfup baada ya Rais Magufuri kumuondoa kwenye nafasi ya uwaziri aliyokuwa amesimamia kwa muda wa mwaka mmoja na miezi kadhaa na sasa Raia amemteua Waziri wa Katiba na sheria Dkt. Harrison Mwakyembe kujaza nafasi hiyo.
Na kwa nafasi ya Dkt Mwakyembe
inajazwa na Prof. Palamagamba Aidan Kabudi ambapo wanatarajiwa kuapishwa kesho
Ikulu jijini Dar Es Salaam.


Post a Comment