"Ndugu zangu naomba TUTULIE! Leo mchana nitakutana na Wanahabari na tutazungumza hili. Nitawaambia saa na mahali, kwa sasa naomba TUTULIE."
Kauli ya nape inakuja muda mfup baada ya Rais Magufuri kumuondoa kwenye nafasi ya uwaziri aliyokuwa amesimamia kwa muda wa mwaka mmoja na miezi kadhaa na sasa Raia amemteua Waziri wa Katiba na sheria Dkt. Harrison Mwakyembe kujaza nafasi hiyo.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.