0
Ikiwa elimu ni njia mojawapo ya kumuondoa mtu katika ujinga wa kutokuwa na utambuzi wa aina fulani na kwa maana pana tunaweza kusema ni tendo au uzoefu wenye athari ya kujenga akili, tabia ama uwezo wa kimaumbile wa mtu binafsi. Katika dhana ya kiufundi. 

Profile Logo: AKILI INAJENGWA!



SHULE ZA MWISHO KITAIFA NDIZO HIZI:..

No.    SHULE                IDADI        MKOA
1. S.2757    Kitonga                103              Dar Es Salaam
2. S.2764    Nyeburu               128              Dar Es Salaam
3. S.2866    Masaki                   72              Pwani
4. S.4634    Mbopo                   71              Dar Es Salaam
5. S.2776    Mbondole            126              Dar Es Salaam
6. S.1965    Somangila Day      59              Dar Es Salaam
7. S.2026    Dahani                   51              Kilimanjaro
8. S.2294    Ruponda                40              Lindi
9. S.1061    Makiba                  99              Arusha
10. S.2879  Kidete                  132              Dar Es Salaam



Kutokana na dhana hiyo hapo juu uelewa wa binadamu kutoka pale anapopewa elimu inatoka na muundo wa itirijia aliyonayo kumuwezesha kuingiza kwenye akili/ubongo unaokamata anachopewa (kuelemika) na kutoa kile alichopewa kwa lengo la kufanikisha njia ya mafanikio ya elimu (Mtihani).

Hapa chini tunaona mfumo wa elimu ulivyogawanyika na kutoa majawabu ya mafanikio kwa kijana aliyepewa na kutoa alichopewa wakati wa mtihani. Pamoja na kwamba baadhi ya shule unaona darasa zima linakuwa na watoto 40 na kufaulisha wote huku shule nyingine ikiwa na wanafunzi 120 na kufaulisha asilimia fulani lakini matokea kuwa kama haya hapa chini.

SHULE KUMI BORA KITAIFA HIZI HAPA:

      No.      SHULE                        IDADI     MKOA
1. S.0189    Feza Boys                       65             Dar Es Salaam
2. S.0239    St. Francis Girls              90             Mbeya
3. S.5426    Kaizirege Junior              47             Kagera
4. S.0248    Marian Girls                  136             Pwani
5. S.4213    Marian Boys                  137             Pwani
6. S.4967    St. Aloysius Girls            45             Pwani
7. S.5130    Shamsiye Boys                43             Dar Es Salaam
8. S.0269    Anwarite Girls                 74             Kilimanjaro
9. S.0224    Kifungilo Girls                98             Tanga
10.S.1604   Thomas More Machrina  48             Dar Es Salaam 


Post a Comment

 
Top