Harakati
anazozifanya mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda huku akiungwa mkono na
viongozi wa kada mbalimbali wakiwepo wa dini, zimekuwa zikishika kasi kwa
mataifa jirani na miji mikubwa kama Harare,
Kampala, Kigali, Mombasa, Nairobi nk kote huko ni Makonda, Magufuri na
Tanzania.
![]() |
Kamanda Charles Mkumbo akionyesha mihadarati aina ya mirungi.
|
![]() |
Kamanda Charles Mkumbo akionyesha mihadarati aina ya mirungi kwa wanahabari
|
![]() |
Kamanda Mkumbo akionyesha madawa ya kulevya aina ya heroin kwa wanahabari
|
ARUSHA.
Wakati nchi ikiwa kwenye mchakamchaka wa utafutaji,
kuwakamata, watumiaji, wauzaji na wasambazaji wa madawa ya kulevya, ambapo
wamekuwa wakijihusisha na madawa hayo haramu ambayo yamekuwa yakiharibu kwa
kiasi kikubwa jamii nchini.
Kamanda
wa polisi mkoa wa Arusha kamishna Charles Mkumbo amekutana na wanahabari na
kuwaonyesha madawa kadhaa yaliyokamatwa mkoani humo ikiwa ni katika mkakati
unaoendelea nchini kote kutokomeza madawa hayo.
Akionyesha
kwa waandishi wa habari baadhi ya madawa ya kulevya yaliyo kamatwa aina ya
mirungi pamoja na bangi ambapo wamefanikiwa kuyakamata madawa ya kulevya aina
ya bangi misokoto 3845 kete 167 za.madawa ya kulevya aina ya heroin.



Post a Comment