PHOTO:
Mwanasheria Fatuma Karume akivishwa joho la kuchukua kiti cha Rais wa Chama cha
Wanasheria wa Tanganyika.
|
PHOTO: Rais wa
TLS Fatuma Karume (kulia) akiapa kuwa Rais wa TLS, pembeni kwake ni mwanasheria
Ngaro aliyesimamia zoezi hilo.
|
PHOTO: Rais akitoa shukurani kwa wanachama kumpa nafasi ya kuongoza chama chao mara baada ya kuapa.
|
PHOTO: Rais akiongea
na wanachama wa TLS hawapo pichani mara baada ya kuapishwa na kuchukua nafasi
hiyo majira ya jioni ya leo jijini Arusha.
|
PHOTO: Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Fatuma Karume akiwapungia mkono wanachama ambapo aliharisha mkutano huo mpaka mwakani kwa mkutano mkuu mwwingine.
|
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.