0
Leo ikiwa ni siku ya figo duniani Madaktari bingwa kutoka hospitali ya KCMC Kilimanjaro wametoa huduma ya kupima Afya kwa ujumla ikiwa ni katika kuadhimisha siku hii ambapo katika utoaji wa huduma hiyo kwa jamii wamefanya zoezi hili kupitia wafanyakazi na wadau wa mfuko wa hifadhi ya Jamii PPF katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa AICC jijini Arusha wakati Shirika la mifuko ya hifadhi ya Jamii PPF likifanya mkutano wake wa 26 wa wanachama na wadau wa PPF.


Madaktari akimtoa damu kwa ajili ya kupewa huduma ya vipimo mmoja wa wananchi siku ya figo duniani. 

Madaktari wakitoa huduma kwa wananchi. 


Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo na figo, Huda Akabi anasema mfumo wa maisha unachangia katika kuwafanya watu kupata magonjwa haya hali inayosababishwa na watu kubadili maisha. Lakini matumizi ya dawa

Hapa chini ni habari kamili kuhusu utolewaji wa huduma hiyo kupitia habari video....



Post a Comment

 
Top