0
PROFILE PHOTO: Waziri Nape Nnauye 
Waziri wa habari Utamaduni Sanaa na Michezo,  Nape Nnauye kesho anatarajia kulitolea ufafanuzi sakata lilipo kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa na linalogusa wadau wa habari kuhusu kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda kwenda katika studio hizo na kuzua utata, nini kilisababisha


Katika taarifa yake ambayo TODAYS NEWS tumeipata Nape alisema "Kesho asubuhi kama waziri mwenye dhamana na Habari nitatembelea Clouds Media kujua kilichotokea, nawaomba waandishi wa habari kote nchini kutulia".


Moja ya update  ni hii hapa niliyoipata:




Stori zaidi kuhusu kilichojili ingia hapa:


UPDATED: kilichotokea Clouds Media habari za ndani ni..
https://todayspro.blogspot.com/2017/03/up-dates-kilichotokea-clouds-media.html


Post a Comment

 
Top